Kamanda wa Jeshi la Polisi kanda maalum DSM, Lazaro Mambosasa amesema kuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi, Abdul Nondo hakutekwa. Aidha amesema uchunguzi umebainisha kuwa alikwenda Mkoani Iringa kwa mpenzi wake waliyekuwa wakiwasiliana muda wote wa safari.
“Polisi baada ya kupata taarifa hii tulianza ufuatiliaji ili kubaini ukweli, tulipokea taarifa kutoka jeshi la polisi Iringa kuwa Mwanafunzi huyo alipatikana mkoani humo wilaya ya Mafinga akiendelea na shughuli zake na wala hakuripoti mahali popote” -Mambosasa
CHADEMA “Amekwisha toa Hukumu Kijana huyu amejiteka”
Wizara ya afya wazungumzia Waganga wanaotangaza aina ya magonjwa wanayotibu
https://youtu.be/j9B6qW-h7Zk