Somalia yaanza jitihada kuwaokoa mateka wa helikopta ya UN wanaoshikiliwa na al-Shabab
Serikali ya Somalia inajitahidi kuwaokoa abiria wa helikopta ya Umoja wa Mataifa…
Korea Kaskazini inaweza kuuza makombora zaidi kwa Urusi – Korea Kusini
Urusi inaweza kutarajia Korea Kaskazini kuiuzia makombora mapya zaidi katika miezi ijayo,…
Kusitishwa kwa mapigano kungeruhusu Urusi kujiimarisha tena kwenye silaha-Zelenskyy
Volodymyr Zelenskyy amesema usitishaji vita nchini Ukraine ungefaidi Urusi pekee. Moscow ilikuwa…
Afariki dunia siku chache tu baada ya upasuaji wa kuongeza shepu
Mwanamke kutokea nchini Uingereza amefariki dunia siku chache tu baada ya upasuaji…
Waziri wa mambo ya nje wa China kufanya ziara Afrika mwezi huu
Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi atasafiri barani Afrika…
Mafuriko yasababisha vifo vya zaidi ya watu 300 DRC
Mamia ya watu wamefariki baada ya bonde la Mto Kongo kuongezeka kwa…
Israel inakabiliwa na tuhuma za mauaji ya halaiki katika Mahakama ya Dunia
Israel inatazamiwa kukabiliwa na tuhuma za mauaji ya halaiki katika Mahakama ya…
Iran yawakamata watu 35 kutokana na mashambulizi ya kujitoa muhanga yaliyoua takriban watu 100
Iran imewakamata watu 35 kuhusiana na mashambulizi ya Januari 3 katika mji…
AFCON:Picha za mitindo ya mavazi waliovalia wachezaji waliowasili Ivory Coast
Timu ya Taifa ya Syli ya Guinea ndiyo timu ya hivi punde…
Uganda:Mwanamke aliejifungua mapacha akiwa na umri wa miaka 70 aonesha picha za mapacha wake
Mwanamke wa Uganda ambaye alijifungua mapacha akiwa na umri wa miaka 70…