Uturuki kuimarisha kambi za kijeshi Kaskazini mwa Iraq baada ya wanajeshi 12 kuuawa.
Uturuki itaimarisha kambi zake mpya za kudumu kaskazini mwa Iraq katika miezi…
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania latarajia kuendesha zoezi la mtihani kwa watahiniwa 4165
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania linatarajia kuendesha zoezi la Mtihani kwa…
Putin atuma vikosi vya kulipiza kisasi huko Crimea baada ya uharibifu wa meli yake ya kivita.
Vladimir Putin anadaiwa kutuma vikosi vya kulipiza kisasi katika eneo linalokaliwa la…
Tamasha la kilimanjaro cultural festival kukuza utalii mkoani Kilimanjaro
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema Tamasha la…
Mshirika wa Putin afariki akianguka kutoka kwa dirisha la nyumba.
Mbunge wa Urusi na mshirika wa Rais Vladimir Putin alipatikana amekufa katika…
Ujumbe wa Hamas wakutana kujadili mpango wa Misri wa kusitisha mapigano Gaza
Ujumbe wa Hamas unatarajiwa mjini Cairo Ijumaa hii kutoa “uchunguzi” wake kuhusu…
Iran yawanyonga watu 4 waliopatikana na hatia ya kufanya ujasusi Israel
Iran siku ya Ijumaa iliwanyonga watu wanne waliopatikana na hatia ya kufanya…
Marekani:Idadi ya watu Duniani imeongezeka 75%;
Imetajwa kuwa kiwango cha ukuaji duniani kote mwaka uliopita ulikuwa chini ya…
Antonio Guterres:2023 mwaka wa ‘mateso makubwa, vurugu, na machafuko ya hali ya hewa’
Mkuu wa Umoja wa Mataifa alionyesha matumaini ya 2024 siku ya Alhamisi…
Mtunzi wa mashairi raia wa Russia ahukumiwa kifungo cha miaka 7 jela
Artyom Kamardin alikutwa na mashtaka ya kusoma mashairi yanayopinga vita wakati wa…