Wafungwa wa Kipalestina wapo kwenye orodha ya kuachiliwa huru
Makumi ya wanawake na vijana wa Kipalestina wanaoshikiliwa na Israel wanatazamiwa kuachiliwa…
Urusi :Kijana ahukumiwa miaka 6 kwa kujaribu kuchoma moto vituo viwili vya jeshi
Kijana mmoja raia wa Urusi amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela baada…
Usitishaji vita huko Gaza kuanza Alhamisi asubuhi
Afisa mkuu wa kundi la Hamas Moussa Abu Marzouk, amesema, makubaliano ya…
Urusi yafanya shambulio baya katika hospitali ya Ukraine laua watu 3
Takriban watu watatu waliuawa na wengine wanane kujeruhiwa baada ya makombora ya…
Wapiganaji wa Wagner wanatambuliwa rasmi kama maveterani wa Urusi
Wapiganaji wa zamani wa Wagner Group wametambuliwa rasmi kama maveterani wa Urusi…
Urusi ina wasiwasi kuhusu uchaguzi wa mwaka 2024
Kremlin “ina wasiwasi usio na kifani” kuhusu uchaguzi wa rais Machi mwakani…
Jeshi la Ukraine linasema kuwa linawaletea hasara kubwa wanajeshi wa Urusi
Jeshi la Ukraine linasema kuwa linawasababishia hasara kubwa wanajeshi wa Urusi huku…
Liberia: Boakai amsifu rais George Weah, kwa kukubali kushindwa
Katika hotuba yake ya kwanza kabisa tangu atangazwe mshindi wa uchaguzi wa…
Umoja wa Mataifa wasema mpango wa kuondoka askari wake wa kulinda amani nchini DRC uko tayari
Naibu msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Farhan Haq amesema,…
Chanjo ya Malaria kusambazwa barani Afrika
Umoja wa Mataifa umetangaza nyongeza ya chanjo ya malaria barani Afrika baada…