Waziri Mkuu wa Japan aomba mkutano na Kim Jong Un
Dada wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un alisema Jumatatu kuwa…
Tanzania yatajwa kuwa ni miongoni mwa nchi 30 yenye maambukizi makubwa ya TB
Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi 30 zenye maambukizi makubwa ya ugonjwa…
Kenya: Polisi wakamata vifaa vya vilipuzi kwenye shambulizi dhidi ya kituo cha kundi la al-Shabab mpakani
Polisi wa Kenya wameshambulia kituo kimoja cha kundi la al-Shabab kilichoko katika…
Muongo mmoja katika vita vIikali vya Yemen, watoto Milioni 4.5 wakosa kwenda shule
Takriban muongo mmoja katika vita vya kikatili vya Yemen, watoto wake milioni…
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupiga kura juu ya azimio la kutaka kusitishwa mara moja kwa mapigano Gaza
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatazamiwa kupiga kura mnamo Machi…
Washtakiwa 4 katika shambulio nchini Urusi wafikishwa mahakamani, wakionekana kupigwa vibaya
Wanaume wanne wanaodaiwa kuwaua kwa risasi watu wengi kwenye tamasha nje ya…
Wapinzani wakuu nchini Chad wazuiwa kupiga kura ya Urais inayosubiriwa kwa hamu
Mamlaka nchini Chad ilisema Machi 24 iliwazuia wagombea 10, wakiwemo wapinzani wawili…
Brazil inapambana kuokoa wahasiriwa wa mafuriko huku idadi ya vifo kutokana na dhoruba ikiongezeka
Waokoaji waliokuwa kwenye boti na ndege walikimbia na kupambana kwa saa nzima…
Rais wa Palestina anaishutumu Israel kwa ‘kusababisha uhaba wa maji kimakusudi’ huko Gaza
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas ameishutumu Israel kwa “kusababisha kiu kimakusudi” na…
Wapalestina 170 wameuawa karibu na hospitali ya al-Shifa huko Gaza :Israel
Jeshi la Israel linasema kuwa Wapalestina 170 waliuawa karibu na hospitali ya…