Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya katika jumba la Big Brother msimu uliopita, Huddah Monroe ambaye pia alikuwa mpenzi wa rapper Prezzo, ametangaza kuwa kwenye penzi jipya na msanii mwingine wa Kenya aitwae Colonel Mustafa.
Huddah atangaza rasmi, huyu ndio mpenzi wake mpya.. watazame hapa wakiongea
Leave a comment
Leave a comment