Tunayo stori kutokea kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Innocent Bashunga ambapo amesema licha ya vijana kuwa na elimu wanaweza kutumia fursa ya kilimo kwa ajili ya kujenga uchumi wa nchi.
Waziri atoa ‘Nondo’ kwa vijana “Licha ya Elimu, tujikite kwenye kilimo” (+video)
Leave a comment
Leave a comment