Leo May 24, 2018 Makamu wa kwanza wa Rais Mstaafu Zanzibar na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Hamad amefika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza na kufanya mazungumzo kabla ya kuanza ziara yake ya kikazi Mwanza kwa siku tatu.
Maswali aliyouliza Maalim Seif kwa Dakika 8 Ofisini kwa RC Mwanza
Leave a comment
Leave a comment