Thomas Munuo ni Mtanzania anayeishi Mkoani Kilimanjaro anayezalisha umeme wa jua kwa miaka minne sasa na anasema aliomba kuwapatia umeme wa bure Wananchi zaidi ya elfu tatu lakini alizuiwa ila baada ya tamko la Rais Magufuli ameanza kuona mwanga baada yakuahidiwa na TANESCO kutembelewa.
Mtanzania akatazwa asigawie Watu 3000 umeme anaozalisha, kauli ya Magufuli yamuibua (+video)
Leave a comment
Leave a comment