Leo October 30, 2018 Mkuu wa mkoa wa Katavi Amosi Makala ameamuru kuachiwa kwa mabasi kumi yaliokuwa yakishikiliwa na maafisa uvuvi Kanda ya Magaharibi katika kituo cha polisi Mpanda kwa kudaiwa kusafirisha samaki kinyume na utaratibu.
Contents
Hatua hiyo inakuja baada ya kuwepo na malalamiko ya wananchi ya kukosa kitoweo cha samaki katika masoko mbalimbali ya mikoa ya Rukwa na Katavi .
Idadi kubwa ya wakazi wa Manispaa ya Mpanda na vitongozji vyake wakisaka na kutafuta samaki katika moja ya masoko maarufu ya kitoweo hiki.
UTEUZI: Mkurugenzi Mkuu mpya wa NHC ateuliwa
https://youtu.be/3lKhXIyBMYw