Kumekuwa na msemo unaozagaa mikoani kuwa watu wa Kigoma ni wabishi na imekuwa ni kawaida yao kubisha kwa kila jambo linalokuwa na ukweli ndani yake AyoTV na millardayo.com imezungumza na baadhi ya wakazi wa mkoa huo kupata mitazamo tofauti kuhusiana na suala hilo.
UNAAMBIWA: ‘Mtu wa Kigoma anaweza bishana na soko’, ukweli ukoje wamezungumza
Leave a comment
Leave a comment