Wananchi wa Mkoa wa Tanga wamejitokeza katika mazishi ya aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo hilo na Waziri wa Uchukuzi Omar Nundu mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu Mwakidila Jijini Tanga.
Mazishi ya Waziri wa zamani, alieteuliwa na Rais kuwa Mwenyekiti Bodi ya Airtel Nundu (+video)
Leave a comment
Leave a comment