Leo August 9, 2018 AyoTV imefika mkoani Tanga nyumbani kwake Mzee Majuto ambapo ndipo msiba utakuwa kabla ya kwenda kuzikwa kesho katika eneo la Kiruku ambapo yeye alitaka azikwe katika eneo hilo.
LIVE MSIBA WA MZEE MAJUTO: Mwili wake ukitolewa Mochwari muda huu
HII NDIO NYUMBA YA MZEE MAJUTO ILIYOPO TANGA MJINI
https://youtu.be/ixhmm2hwCGc