Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza linamshikilia mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Kenedy John Obworo mkazi wa jijini Dare s salaam kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kuwanywesha dawa za kulevya wanawake kisha kuwabaka na kuwaibia pesa na simu za mkononi.
Jamaa analewesha Wadada kwa Dawa za Kulevya kisha kuwabaka na kuwaibia
Leave a comment
Leave a comment