Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera Revocatus Malimi ametaja idadi ya watu waliokamatwa baada ya kuhusika katika uchotaji mafuta kwenye ajali ya lori la mafuta lililoanguka Wilaya ya Ngara Mkoa wa Kagera huku akithibitisha dereva wa gari hilo kupoteza maisha hapohapo.
Waliochota mafuta katika ajali ya lori wakamatwa, dereva afariki (+video)
Leave a comment
Leave a comment