May 11 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda mguu kwa mguu akiongozana na timu ya Waandishi na Askari alikwenda kwenye msako wa sukari kuendelea kufatilia taarifa za Wafanyabiashara walioficha sukari, unaweza kujionea kwenye hii video hapa chini
VIDEO: Paul Makonda mguu kwa mguu kwenye msako wa sukari DSM May 11 2016
Leave a comment
Leave a comment