Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwatawanya wakazi wa Michungwani, wilayani Handeni waliotaka kuchota mafuta kufuatia lori la mafuta kupinduka na kumwaga mafuta. Kamanda wa Usalama Barabara Mkoani Tanga aliwaambia watu hao watakamatwa, watashughulikiwa kweli kweli, na wataozea jela.
Lori la mafuta tena limeanguka, Polisi watanda kuzuia wezi wa mafuta (+video)
Leave a comment
Leave a comment