Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku Msukuma amesema kuwa wapo viongozi wa serikali wanaomzunguka Rais Dk. John Magufuli, na kushangilia kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania nchini Afrika ya Kusini ambapo amesema atawataja kama akipewa ulinzi.
Mbunge Musukuma aibuka na sakata la ndege “nitawataja nikipata ulinzi” (+video)
Leave a comment
Leave a comment