January 14, 2019 Mbunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya CHADEMA ambaye pia ni mke wa David Kafulila, Jesca Kishoa amekutana na Waandishi wa habari Dodoma na kuelezea kuhusu ufisadi unaodaiwa kufanywa na Mradi wa SONGAS ambapo amemshauri Rais Magufuli kama ameshindwa kulifanyia maamuzi basi alipeleke katika Mahakama ya Kimataifa ili kuokoa hasara ambayo taifa inalipata.
BREAKING: Mke wa Kafulila aibua ufisadi wa mkubwa “Spika aachane na CAG” (+video)
Leave a comment
Leave a comment