Mgogoro wa kugombea mali za Bilionea Msuya umefikia katika hatua ya pande zote kukubali kuondoa shauri la mirathi Mahakamani na kukubali kuzungumza kwa pamoja ili kufikia mariadhiano ambapo Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro amesimamia suala hilo huku ndugu wa Bilionea huyo akiangua kilio mbele ya DC.
Mtoto wa Bilionea Msuya afunguka mazito, Mama aangua kilio, mgogoro wa mali (+video)
Leave a comment
Leave a comment