Ni video ambayo imefanywa nchini Kenya ambapo Ney anasema ametumia zaidi ya dola za kimarekani elfu saba kuifanya. Video ameiachia rasmi December 31 2013 on AyoTV.
Nay wa Mitego anakupa mwaliko kuitazama hii video mpya ya ‘nakula ujana’
Leave a comment
Leave a comment