Sports Picha za mastaa wa Man United wakiwa na Diego Maradona Dubai February 17, 2014 Share 0 Min Read SHARE Gwiji wa soka ulimwenguni Diego Maradona amewatembelea mastaa wa Manchester United waliopo huko Dubai kwenye mazoezi maalum. Diego amekutana na wachezaji kadhaa wa United na kupiga nao picha akiwemo Van Persie, Juan Mata, Chicharito, Ashley Young, na David De Gea. Millard Ayo February 17, 2014 Share this Article Facebook TwitterEmail Print Share Previous Article Baada ya ukimya wa kutosikika Redioni, Dina Marios amepost hii picha Next Article Wanajeshi walichomfanyia Young Killer Mwanza. Leave a comment Leave a comment Leave a Reply Cancel replyYou must be logged in to post a comment. - Advertisement - Latest News Upasuaji wa mgongo kwa njia ya matundu wafanyika kwa mara ya kwanza Top Stories March 28, 2024 China Kinara Uwekezaji Tanzania :Dkt. Tausi Kida Top Stories March 28, 2024 12 wakamatwa kwa kula mchana wa Ramadhan hadharani ZNZ Top Stories March 28, 2024 “Ningeifundisha Napoli bure”:Cannavaro Sports March 28, 2024