Leo December 9 2017 Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza msamaha kwa Familia ya Babu Seya, msamaha huo ameutoa wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Uhuru yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma. Video kamili nimekuwekea hapa chini tayari…
FULL VIDEO: Rais Magufuli alivyowasamehe Babu Seya na familia yake
Leave a comment
Leave a comment