Kama kawaida yake Zuch Zuchero hakaukiwi na maswali akiwa na M-Koba,katika jengo kongwe la Old Boma maeneo ya Posta Dar es Salaam amekuja na swali akiuliza; Kama wapenzi wako wa zamani wakikuchangia kiasi cha Elfu Kumi kwa kila mmoja kisha wakakupatia mwisho wa mwezi utakuwa na shilingi ngapi…?
Ukichangiwa 10,000 na wapenzi wako wa zamani kwa mwezi utakuwa na kiasi gani ? (+video)
Leave a comment
Leave a comment