Jeshi la Polisi Mkoani Tanga bado linamtafuta mtu mmoja aliyezama Baharini baada ya boti aliyokuwa amepanda na wenzake kupinduka na yeye kupotea kabisa wenzake wote wamepatikana.
USIKU: Boti iliyobeba Wafanyakazi wa Benki imepinduka Raska zone (+video)
Leave a comment
Leave a comment