Wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas huko Gaza inasema idadi ya vifo ilipita 33,000
Takriban Wapalestina 32,975 wameuawa na 75,577 kujeruhiwa katika mashambulizi ya Israel huko…
Taiwan yawaokoa raia 1,000 walijeruhiwa katika tetemeko la ardhi
Utafutaji wa manusura wa tetemeko la ardhi lenye nguvu zaidi nchini Taiwan…
Biden kuzungumza na Netanyahu siku ya Alhamisi:afisa wa Marekani
Rais wa Marekani Joe Biden atazungumza kwa simu na Waziri Mkuu wa…
Ufahamu uyoga wa bei ghali duniani huuzwa kwa angalau Tsh Millioni 12
Uyoga wa matsutake wa Kijapani ni uyoga wa gharama kubwa zaidi duniani…
Mahakama ya Kikatiba ya Uganda imekataa ombi la kupinga ushoga
Mahakama ya Katiba ya Uganda imetupilia mbali ombi la kutaka kubatilisha sheria…
FC Barcelona wamepanga mpango wa kumsajili nyota wa Manchester City Erling Haaland
Kulingana na ripoti, wababe wa Uhispania FC Barcelona wamepanga “mpango” wa kumsajili…
Ukraine yapunguza umri wa kujiunga na jeshi hadi miaka 25 ili kuzalisha nguvu zaidi ya mapigano
Rais Volodymyr Zelenskiy alitia saini mswada siku ya Jumanne wa kupunguza umri…
Vijana watiririka nchini Urusi kuomba nafasi ya kujiunga na jeshi kulipiza kisasi cha shambulizi la Machi 22
Urusi mnamo Jumatano (Aprili 3) iliripoti ongezeko kubwa la idadi ya watu…
Waziri January Makamba amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Vatican nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January…
Sheria ya bima ya afya kwa wote kuanza kutumika kabla ya mwisho wa April 2024
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa Sheria ya Bima…