Hasheem Thabeet ame-post kwenye ukurasa wake wa facebook kuhusu baadhi ya watu wanaodhani kwamba amesahau lugha ya kiswahili. Sasa hiki ndicho alichoandika Hasheem kwenye ukurasa wake wa facebook.
Post ya Hasheem Thabeet kuhusu wanaodhani amesahau lugha ya Kiswahili.
Leave a comment
Leave a comment