Tume ya Taifa ya uchaguzi imefanya mkutano wake na vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mdogo wa madiwani November 26 2017 ambao Watanzania wataopiga kura ni laki 3 na Elfu 33 ambapo Vyama 12 vimesimamisha Wagombea, Wanawake 141 na Wanawake ni 11.
Tume ya Uchaguzi yatangaza yafuatayo uchaguzi wa Udiwani (+video)
Leave a comment
Leave a comment