Leo June 8, 2018 Mwili wa marehemu Salum Mohamed maarufu Sam Wa Ukweli tayari umeshawasili Kijijini kwao ambapo mazishi yatafanyika Kiwangwa kwenye Mananasi ambapo Mama yake pia alizikwa.
FULL VIDEO: Mwili wa ‘Sam wa Ukweli’ ulivyotolewa Mwananyamala kwenda kuzikwa
Mjomba wa ‘Sam wa Ukweli’ “atazikwa kwenye mananasi alipolala Mama yake”
https://youtu.be/WcvfD6VRPdM