Kutana na Neema John (25) mkazi wa Mhandu Machinjioni Mwanza ambaye ni mjamzito wa miezi sita anayesumbuliwa na tatizo la kuvimba matiti hali inayomsababisha abaki ndani na anasema huwezi kutembea umbali mrefu kutokana na maumivu makali, Ayo TV, millardayo.com imezungumza nae.
Inasikitisha: Mjamzito wa miezi 6 matiti yake yamevimba anajikuna na kisu (+video)
Leave a comment
Leave a comment