Mbunge wa kuteuliwa Abdallah Bulembo ameshauri kwamba Serikali ihakikishe inawazuia Wakuu wa Mikoa na Wilaya wasihusishwe kusimamia shughuli za usimamizi wa kazi za wachimbaji wadogo wa madini ili kuweza kuepusha migogoro.
“Rais aishasema, Wakuu wa Wilaya na Mikoa wasiingilie zoezi hili”-Mbunge Bulembo (+video)
Leave a comment
Leave a comment