Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mbowe afunguka, “Inaudhi kuambiwa nimelamba asali”
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mbowe afunguka, “Inaudhi kuambiwa nimelamba asali”
Top Stories

Mbowe afunguka, “Inaudhi kuambiwa nimelamba asali”

December 11, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe wakati akiongea na Diaspora nchini Marekani leo amesema anakasirishwa na wanaosema amelamba asali ili kumfanya akae kimya, na kusema hilo ni kama tusi kwake lakini anavumulia kwakuwa ni sehemu ya harakati.

“Nimekuwa nikifuatilia mijadala katika mitandao, hisia za Viongozi wenzangu ndani ya Chama, hisia za Watanzania wengine wasio Wana CHADEMA, wengi wakiamini kwamba maridhiano (Kati ya CHADEMA na Serikali) ni kupoteza muda, na hapo katikati ukatokea msamiati kuwa Mbowe kalamba asali, mbona Mbowe hazungumzi, Mbowe amekuwa kimya sana”

“Naomba leo niweke rekodi sawa, Chama ninachokiongoza nimekiruhusu sana kusema wala sitaki kiwe Chama ambacho akizungumza Mwenyekiti basi wenzake wote wakae kimya, hapana”

“Kwanza katoka Makamu wangu Lissu akazungumza, ukimsikia Lissu kasema ukiangalia kwa haraka unaweza kufikiria Mbowe na Lissu wana ugomvi lakini huyu ni Mtu amepigwa risasi 16 hawa ni Viongozi wenzangu wamefungwa Jela, wanaishi ughaibuni kwa kulazimishwa, ni lazima uelewe hisia na uchungu wao, hii ya ‘Mbowe kalamba asali’ inaniudhi lakini inabidi nikubali, nikasema OK, kama kulamba asali ni kuitetea Nchi yangu niko tayari kuitetea”

“Nimekuwa kwenye upinzani kwa miaka 30, sio kwa kuangalia madaraka wala fedha bali mustakabali wa Tanzania, nimepoteza vitu vingi, hiyo asali nitakayopewa leo inaweza kufidia miaka yangu 30 ya jasho na maumivu?, ni tusi lakini tunaikubali kwasababu ni sehemu ya harakati”

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

Edwin TZA December 11, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Jumapili kubwa kuliko, MFR Souls kuinogesha Kidimbwi Beach Usiku wa leo
Next Article Hatimaye Miss Tanzania 2020 akabidhiwa zawadi yake
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?