Kwa mara ya pili mfululizo mkoa wa Mbeya umeivunja rekodi ya kipekee kwenye mahudhurio ya watu wa nguvu waliojitokeza kuisupport bongofleva kwenye uwanja wa Sokoine ambapo mwaka huu pia pamoja na kuivunja rekodi ya mahudhurio, wamevunja rekodi ya kupiga kelele za shangwe na kuimba na wasanii wao wanaowapenda.
Pichaz 49 za Fiestani Mbeya jana sept 28… Linah, Linex, Mr. Blue, Stamina, Nay na wengine
Leave a comment
Leave a comment