Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mtoto wa mfalme alivyowalipia Mwewe nauli na kuwapandisha Ndege ya abiria
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > Mtoto wa mfalme alivyowalipia Mwewe nauli na kuwapandisha Ndege ya abiria
DunianiMaajabu

Mtoto wa mfalme alivyowalipia Mwewe nauli na kuwapandisha Ndege ya abiria

January 31, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Kutoka Saudi Arabia leo mtoto wa mfalme wa nchi hiyo Prince Mohammed Bin Salman ambaye pia ni waziri wa ulinzi ndio anamiliki vichwa vya habari.

Uamuzi wake wa kusafiri na Ndege jamii ya Mwewe wapatao 80 kwenye ndege ya abiria ndio umekua gumzo ambapo ndege hiyo inatajwa kuwa ya shirika la Qatar Aiways. 

Kikawaida ni jambo gumu kuwasafirisha ndege ndani ya ndege tena wanaofikia 80 labda tu uwe mtoto wa mfalmee kama ambavyo Prince Mohamed amefanya hivi karibuni baada ya kuamua kuwalipia nauli mwewe 80 kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 100 ili kupata siti za ndege hao.

Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Prince Mohamed inaelezwa kuwa ni kweli kitu hicho kimefanyika na waliwafunga mabawa Mwewe wote ili wasiruke wakati ndege ikiwa safarini.

This picture that appears to show dozens of 'hawks' on a plane has caused a stir on Reddit

Birds of prey can be taken on flights in the Middle East, with airlines including Qatar Airways offering price deals on its website, pictured

Inaelezwa kuwa sio jambo geni kusafirisha wanyama au ndege lakini hawatakiwi kuzidi 6 tu, sasa ili upate ruhusa ya kusafirisha idadi kubwa lazima ulipe fedha nyingi au uwe na kibali maalumu cha viongozi wakuu wa nchi kama ilivyokuwa kwa mtoto wa mfalme.

 VIDEO: Ulipitwa na alichokisema Harmorapa baada ya kuitwa na Mose Iyobo? Nimekuwekea hapa chini.

You Might Also Like

Fahamu maajabu ya ‘Haier Tower AC’, Snash kaeleza kila kitu

Aiba mifuko 100 ya chips baada ya kukataliwa kuuziwa pombe

Silent Ocean imetupitisha kwenye Masoko ya vifaa mbalimbali Dubai, tazama (video+)

Forbes wamtangaza Melinda alieachana na Bill Gate kuwa Bilionea mpya, ashika namba hii

Mashine za EFD hazifanyi kazi nchi nzima, Serikali yakiri

TAGGED: duniani
Admin January 31, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Waliofukiwa mgodini Geita waongea, aliyeongoza Sala, walioomba Sigara na mengine
Next Article Majibu ya Shilole kuhusu kurudiana na Nuh, pia Donjazzy kupost ‘chura’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?