Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wabunge wapiga kura za NDIO kwa Paul Makonda na Mnyeti waitwe bungeni
Share
Notification Show More
Latest News
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Wabunge wapiga kura za NDIO kwa Paul Makonda na Mnyeti waitwe bungeni
Top Stories

Wabunge wapiga kura za NDIO kwa Paul Makonda na Mnyeti waitwe bungeni

February 9, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Kubwa nyingine kutoka Bungeni Dodoma February 8 2017 ni maamuzi ya Wabunge kupiga kura za maazimio ya kuwaita kwenye kamata ya maadili ya Bunge Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Alexander Mnyeti kwa madai ya kutoa lugha za kulidhalilisha Bunge.

Awali wabunge waliomba mwongozo kwa Mwenyekiti wa bunge Andrew Chenge akubali bunge kujadili kauli za Paul Makonda aliyetuhumiwa kwa kunukuliwa akizungumzia Wabunge >>> ‘Unajua zile ni mbwembwetu, wakati mwingine wale huwa wanachoka na kusinzia hivyo ni lazima wakati mwingine kuwe na watu akili zao zinasaidia kucheka’

Paul Makonda mbele ya Waandishi February 8 2017

Baadhi ya wabunge wakiwemo Abdallah Ulega, Ester Bulaya, Mwita Waitara pamoja na Joseph Msukuma walisimama kuelezea Bunge namna walivyozipokea taarifa za Makonda huku wakiendelea kushinikiza bunge lizipokee hoja na kutaka kamati ya maadili itekeleze wajibu wake wa kumtaka kufika bungeni kwa ajili ya mahojiano.

Nje ya RC Makonda mwingine aliyedaiwa kutoa lugha za kudaiwa kudhalilisha bunge ni Mkuu wa wilaya ya Arumeru Alexander Mnyeti ambae naye anadaiwa kurekodiwa sauti akikashifu utendaji kazi wa bunge , bunge liliafiki ajumuishwe kwenye tuhuma hizo na kuitwa kwenye kamati hiyo ya maadili.

Mwenyekiti wa bunge Andrew Chenge baada ya kuzisikiliza hoja zote za wabunge alitoa nafasi kwa Wabunge kupiga kura za Ndio au Hapana kuruhusu azimio la Watuhumiwa wote kuitwa mbele ya kamati ya maadili ya Bunge ambapo kura zote zilikuwa za Ndio.

Ukitaka kuona alichoongea leo Paul Makonda kuhusu Wabunge unaweza kutazama hii video hapa chini

FULL VIDEO: Ilivyokua mpaka Wabunge wa upinzani wakatoka nje ya bunge February 8 2017, tazama kwenye hii video hapa chini

You Might Also Like

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

TAGGED: Bungeni, TZA HABARI
Admin February 9, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article JIPYA: Ni kuhusu yule Mjane aliyejitokeza mbele ya Rais Magufuli
Next Article Magazeti ya Tanzania February 9, 2017 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?