Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Siku mbili baada ya tukio la Ijumaa, Watanzania hawa 35 Wamefikishwa Mahakamani
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Siku mbili baada ya tukio la Ijumaa, Watanzania hawa 35 Wamefikishwa Mahakamani
Mix

Siku mbili baada ya tukio la Ijumaa, Watanzania hawa 35 Wamefikishwa Mahakamani

July 13, 2015
Share
1 Min Read
SHARE

2Ijumaa kwenye taarifa kubwa kutoka taifa la Tanzania hii ya kituo kidogo cha Polisi Bunju Dar es salaam kuchomwa moto na Wananchi kwa hasira ya Mwanafunzi wa shule ya msingi kugongwa na gari barabarani ilikua miongoni mwa kubwa za hiyo July 10 2015.

3Kwa sababu walitoa malalamiko ya matuta kuwekwa na hayakuwekwa hivyo magari yanapita kwa spidi zote, hasira zao walizimalizia kwa kuchoma moto na kukiteketeza kabisa kituo cha Polisi.

Walifanikiwa kuvunja milango na wakaweka magurudumu na kukichoma moto ambapo wakati wanafanya yote hayo ndani kulikua na mahabusu watatu ambao walitolewa kuokoa maisha yao kabla ya moto kuwashwa.

4Taarifa rasmi za July 13 2015 ni kwamba Waliokamatwa kwa kuchoma moto kituo hicho ni 35 na wamefikishwa Mahakamani na kusomewa mashitaka sita.

6Unaweza kuplay hii video hapa chini ili kuona kituo chenyewe kilivyochomwa moto.

Unahitaji nikutumie kila stori ninayoipata? jiunge na mimi kwenye Twitter, Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa >>> Twitter Insta FB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

AudioMPYA: Joshua Ngelendo anakualika kusikiliza “Jemedari”

Millard Ayo July 13, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Olamide amerudi na single mpya “Lagos Boys!” (Audio)
Next Article Top 10 ya Hip Hop Trace TV July 13,2015
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?