Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: List ya watuhumiwa wa tukio la kushambulia basi la Man United inazidi kuongezeka
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > List ya watuhumiwa wa tukio la kushambulia basi la Man United inazidi kuongezeka
Sports

List ya watuhumiwa wa tukio la kushambulia basi la Man United inazidi kuongezeka

May 14, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya kutokea kwa tukio la basi lenye kikosi cha Man United kushambuliwa May 10 2016 kabla ya mchezo dhidi ya West Ham United, mchezo ambao ulichezwa katika uwanja wa Boleyn basi la timu ya Man United lilishambuliwa kwa kurushiwa chupa na vitu mbalimbali.

Leo May 14 2016 taarifa za kijana mwenye umri wa miaka 28 kukamatwa kwa kuhusishwa na tukio hilo zimesambaa mitandaoni, kijana huyo ambaye ameshukiwa kuhusika na tukio hilo amefikishwa kituo cha polisi cha East London,

Hata hivyo kabla ya kukamatwa mtu huyo leo May 14, tayari kulikuwa na watu watatu wenye umri wa miaka 18, 20 na 47 wamekamatwa wakihusishwa na tukio hilo lililofanyika May 10 2016, kikosi cha Man United kilishambuliwa kikiwa ndani ya basi muda mchache kabla ya kushuka.

KASEJA KAZUNGUMZIA GOLI ALILOFUNGWA NA TAMBWE MAY 10 2016

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA May 14, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Siku 50 toka uharibifu wa kituo cha mabasi ya haraka kutokea, gharama za ukarabati zimetajwa
Next Article VIDEO: Jamaa alivyodandia Helikopta iliyobeba mwili wa Marehemu Kenya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?