Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Mechi ya Europa League ambayo Samatta aliihofia na kuhisi hahitajiki uwanjani
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > VIDEO: Mechi ya Europa League ambayo Samatta aliihofia na kuhisi hahitajiki uwanjani
AyoTV

VIDEO: Mechi ya Europa League ambayo Samatta aliihofia na kuhisi hahitajiki uwanjani

November 24, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Usiku wa leo November 24 2016 saa 23:05 nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta atakuwa akicheza mchezo wake wa tano wa hatua ya Makundi ya UEFA Europa League akiwa na KRC Genk dhidi ya timu ya Rapid Wien ya Austria.

Samatta tayari amecheza mechi nne za Europa League hatua ya makundi akiwa na KRC Genk, AyoTV kabla ya mchezo wa leo imempata katika exclusive interview na amekubali kueleza ni mechi ipi aliiona ngumu kwake katika mechi nne za Europa League alizocheza hatua ya Makundi.

“Mechi niliyokuwa nahisi ina chalenji kubwa kati ya mechi nne, ilikuwa ni game ya KRC Genk dhidi ya  Sassuolo kutoka Italia, tulikuwa nyumbani lakini jamaa walikuwa wanamiliki mpira kwa kiasi kikubwa, hiyo mechi nilianzia nje kwa sababu nilikuwa natoka majeruhi lakini presha yake ilikuwa kubwa”

VIDEO: Sababu iliyomfanya Samatta aanze kutumia viatu vya Nike na kuviacha vya Adidas

You Might Also Like

Rais Samia afika kwenye kaburi la hayati Magufuli huko Chato

Nick Minaj akataa kuchanjwa chanjo Covid-19, asema “Mtu kawa mgumba”

Msemaji Mkuu wa Serikali afunguka “Tumeongeza marubani watanzania 100”

Picha:Uongozi wa Simba wamzawadia gari Musa Mgosi

Watumishi 9 wasimamishwa kazi (JNIA)

TAGGED: Ayo TV, AyoTV
Rama Mwelondo TZA November 24, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Walichoandika Diamond na Wema Sepetu kuhusu Ommy Dimpoz
Next Article Mke wa Donald Trump hatishi Ikulu ya White House mpaka June 2017
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?