Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Barakah Da’ Prince baada ya ushindi wa KTMA, daftari la mashairi ya Linex.. Safari ya Fella na Yamoto South Africa.. #255 (Audio)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 22, 2023
September 22, 2023
NEMC yatoa siku saba kwa Uongozi wa kiwanda kichotengeneza Wadudu, harufu kali yalalamikiwa
September 22, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 22, 2023
September 22, 2023
RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki
September 21, 2023
Picha: Kutokea kwenye Mkutano kitaifa unaojadili upatikanaji wa Nishati nchini
September 21, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Barakah Da’ Prince baada ya ushindi wa KTMA, daftari la mashairi ya Linex.. Safari ya Fella na Yamoto South Africa.. #255 (Audio)
Habari za Mastaa

Barakah Da’ Prince baada ya ushindi wa KTMA, daftari la mashairi ya Linex.. Safari ya Fella na Yamoto South Africa.. #255 (Audio)

June 15, 2015
Share
1 Min Read
SHARE

Enter

Leo kwenye 255 Barakah Da’ Prince amesikika akizungumzia kupata tuzo ya KTMA2015 na kusema imempa moyo sana wa kujiamini na kutambua nini anafanya.. kumbe alikuwa akihofia washiriki wote kwenye tuzo, na kama ngetokea hajapata tuzo hiyo yeye basi anaamini Alice kutoka THT angeweza kuibuka mshindi kama msanii Bora Chipukizi.

Said Fella amezungumzia safari ya Yamoto Band ambao leo asubuhi wameondoka kuelekea South Africa kufanya video ya wimbo wa ‘Cheza Kwa Madoido‘ ambapo kazi imekabidhiwa kwa Director Godfather.

Linex naye amesikika akizungumzia kupatikana kwa daftari lake lililopotea siku nyingi nyumbani kwao Kigoma ambalo ndani kulikua na mashairi yake ambayo alikua akiyahitaji sana katika kufanya kazi zake.. Kwenye daftari hilo kumbe Linex alikuwa kajaza mashairi tu na sio kitu kingine.

255 iko kwenye hii sauti hapa, play uwasikie wote na story zao zote.

Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenye Twitter, Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa >>> Twitter Insta FB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

Millard Ayo June 15, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Maneno waliyoandika Jokate na Wema Sepetu baada ya Ali Kiba kushinda tuzo 6 za KILI 2015.
Next Article Ratiba ya kuaga mwili wa Marehemu Mufti Shaaban Simba pamoja na mazishi imetolewa… (Audio)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 22, 2023
Magazeti September 22, 2023
NEMC yatoa siku saba kwa Uongozi wa kiwanda kichotengeneza Wadudu, harufu kali yalalamikiwa
Top Stories September 22, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 22, 2023
Top Stories September 22, 2023
RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki
Top Stories September 21, 2023

You Might also Like

Top Stories

NEMC yatoa siku saba kwa Uongozi wa kiwanda kichotengeneza Wadudu, harufu kali yalalamikiwa

September 22, 2023
Top Stories

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 22, 2023

September 22, 2023
Top Stories

Picha: Kutokea kwenye Mkutano kitaifa unaojadili upatikanaji wa Nishati nchini

September 21, 2023
Top Stories

Mabingwa wenye bidhaa za kielectronic ‘Haier’ leo wametangaza habari hii njema mbele ya Waandishi wa Habari

September 21, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?