Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Na huyu ndio mrembo anaedai kuwa na ujauzito wa Davido
Share
Notification Show More
Latest News
Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’
August 13, 2022
Video: Mo Dewji alivyokutana na Wachezaji wa Simba, kuelekea mchezo dhidi ya Yanga
August 13, 2022
Picha: Kinachojiri kwa Mkapa kwenye mechi ya Watani wa jadi ‘Simba na Yanga’
August 13, 2022
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
August 13, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Na huyu ndio mrembo anaedai kuwa na ujauzito wa Davido
Habari za Mastaa

Na huyu ndio mrembo anaedai kuwa na ujauzito wa Davido

January 20, 2014
Share
1 Min Read
SHARE

Screen Shot 2014-01-20 at 12.15.00 PMHii sio mara ya kwanza kusikia kajitokeza binti flani na kudai kazaa au ana ujauzito na staa flani wa muziki, movie, siasa au kingine chochote.

Sasa yule staa wa Nigeria ambae ndio yuko kwenye headlines na Diamond Platnums kutokana na kolabo yao ya ‘number 1 rmx’ yaani Davido, kimemkuta hiki cha huyu binti.

Mrembo huyu anaeishi Uingereza anaitwa Shanielle Sunshhine na amenukuliwa akisema wazi anao ujauzito wa Davido, ni ujauzito wa mapacha ulio na umri wa karibia miezi sita ambao ulitokana na kukutana kwao mwaka 2013 wakati Davido alipofanya Tour Uingereza.

Pamoja na kwamba Davido amekua kimya wakati wote kuhusu hii ishu, Shanielle amesema anakaribia kutoa vithibitisho vyote kwamba huo ujauzito ni wa Davido.

davido 1

davido 3

davido 23

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

Millard Ayo January 20, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Za facebook na twitter fastafasta!
Next Article Katika hizi picha 7 za vituko kutoka facebook, ipi imetisha?
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’
Sports August 13, 2022
Video: Mo Dewji alivyokutana na Wachezaji wa Simba, kuelekea mchezo dhidi ya Yanga
Sports August 13, 2022
Picha: Kinachojiri kwa Mkapa kwenye mechi ya Watani wa jadi ‘Simba na Yanga’
Sports August 13, 2022
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
Entertainment August 13, 2022

You Might also Like

Entertainment

Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake

August 13, 2022
Entertainment

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani

August 12, 2022
Entertainment

Nandy ametuletea hii video mpya ya wimbo wake akiwa na Oxlade ‘Napona’

August 11, 2022
Entertainment

Meneja wa Diamond ‘Sallam’ atia neno baada ya Kizz Daniel kuwaomba radhi watanzania

August 10, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?