Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Goli la Kahraba lililovunja rekodi ya Morocco vs Misri iliyodumu kwa miaka 21
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > VIDEO: Goli la Kahraba lililovunja rekodi ya Morocco vs Misri iliyodumu kwa miaka 21
Sports

VIDEO: Goli la Kahraba lililovunja rekodi ya Morocco vs Misri iliyodumu kwa miaka 21

January 30, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Wakati wapenda soka wengi hususani waliyokuwa wanafuatilia robo fainali za michuano ya AFCON 2017 nchini Gabon, robo fainali ya mwisho ya Misri dhidi ya Morocco iliyokuwa inazikutanisha timu kutoka Afrika ya Kaskazini ilikuwa inasubiriwa kwa hamu huku wengi wakitamani kujua rekodi inavunjwa au itaendelezwa.

Morocco waliingia uwanjani wakiwa na rekodi imara dhidi ya Misri iliyodumu kwa miaka 21, kabla ya mchezo huu wa robo fainali uliyomalizika kwa Misri kupata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Morocco kwa goli lililofungwa na Mahmoud Kahraba dakika ya 87, Misri walikuwa hawajawahi kuifunga Morocco goli hata moja toka October 6 1996 katika mchezo wa AFCON uliyomalizika kwa sare ya 1-1.

Kwa ujumla Misri na Morocco zimewahi kukutana mara 27 katika mashindano tofauti tofauti, Misri akiifunga Morocco mara 3, akipoteza mara 13 na sare mara 11, ushindi huo unamfanya kila mchezaji wa Misri kupokea bonansi ya dola 1250 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 2.7 kutoka chama cha soka cha Misri.

https://youtu.be/xD1NgxvQJyY

VIDEO: Yanga vs Azam FC January 7 2017, Full Time 0-4

You Might Also Like

Pochettino Kocha Mpya Chelsea

Mario Balotelli atabiri fainali ya Man City vs Inter Milan juni 10

Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid

Picha: Yanayojiri kwa Benjamini Mkapa, mashabiki wafurika nje kushuhudia mechi ya Yanga SC dhidi ya USM Alger

Live: Ali Kamwe aongoza Shangwe la Fainali Mbagala Zakheim, Tazama kinachoendelea muda huu

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA January 30, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Magoli ya Obrey Chirwa yaliyoipandisha Yanga kileleni Jan 29 2017
Next Article Mambo matano kwenye Taarifa ya kwanza ya TRL kuhusu Treni iliyoanguka Ruvu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?