Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha 9 za Halima Mdee na wenzake walivyotoka Mahakamani leo
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kurejelea kesi yake na tuhuma za ufisadi
December 4, 2023
Marekani imeingilia kinyume cha sheria bahari ya Kusini -China
December 4, 2023
Haaland anaweza kukabiliwa na hatua ya kinidhamu
December 4, 2023
Sitaki kuitazama Man United tena-Gary Neville
December 4, 2023
Newcastle wanapaswa kumsajili David De Gea ili kuziba pengo la Nick Pope
December 4, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Picha 9 za Halima Mdee na wenzake walivyotoka Mahakamani leo
Mix

Picha 9 za Halima Mdee na wenzake walivyotoka Mahakamani leo

March 2, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Leo March 2 2016 wabunge wawili wa chadema, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara Pamoja na Diwani wa Kata ya Saranga, Ephrein Kinyafu. Wamefikishwa mahakamani kwa ajili ya kujibu mashitaka ya kumjeruhi katibu tawala Mkoa wa Dar es salaam wakati wa uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es Salaam ulipoahirishwa. Watuhumiwa wote wamekana mashitaka hayo na wamejidhamini wenyewe kwa gharama ya Shilingi Milioni mbili kila mmoja.

 

1
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (wa pili kushoto), Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara (wa tatu kutoka kushoto) na Diwani wa Kata ya Saranga, Ephrein Kinyafu (kulia) wakiwa ndani ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, Leo kabla ya kuanza kusikiliza kesi inayowakabili. 
3
Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule, akiwa ndani ya mahakama ya mkazi kisutu kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kesi hiyo.
2
Mbunge wa Bunda, Esther Bulaya akiwa na Katibu Mkuu, Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) wakisubiri kusikilizwa kwa kesi hiyo

4

5

6

7

8

9

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na MillardAyokwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAMTWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Wanafunzi wazidi kunufaika na elimu ya kupinga ukatili

Mgodi wa Barrick Mara kinara kodi ya Mauzo ya nje

Serengeti waunga mkono usawa wa kijinsia

Ditto Mahakamani kudai fidia ya Tsh Bilioni 6

Taasisi ya Hassan Maajar yakabidhi darasa la Kompyuta Shule ya Majengo

TAGGED: Pichaz
Millard Ayo March 2, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kama uliikosa ya muonekano wa Mbwana Samatta, Lionel Messi na Neymar kwenye Game ya FIFA 16
Next Article Msanii aliyejitokeza na kusema ‘shika adabu yako wa Nay wa mitego ni wimbo mzuri’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kurejelea kesi yake na tuhuma za ufisadi
Top Stories December 4, 2023
Marekani imeingilia kinyume cha sheria bahari ya Kusini -China
Top Stories December 4, 2023
Haaland anaweza kukabiliwa na hatua ya kinidhamu
Sports December 4, 2023
Sitaki kuitazama Man United tena-Gary Neville
Sports December 4, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kurejelea kesi yake na tuhuma za ufisadi

December 4, 2023
Top Stories

Marekani imeingilia kinyume cha sheria bahari ya Kusini -China

December 4, 2023
Sports

Haaland anaweza kukabiliwa na hatua ya kinidhamu

December 4, 2023
Sports

Newcastle wanapaswa kumsajili David De Gea ili kuziba pengo la Nick Pope

December 4, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?