Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Usisahau kuwa Azam FC na Simba SC zimecheza leo Chamazi
Share
Notification Show More
Latest News
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC
September 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Usisahau kuwa Azam FC na Simba SC zimecheza leo Chamazi
Sports

Usisahau kuwa Azam FC na Simba SC zimecheza leo Chamazi

September 9, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Jumamosi ya September 9 2017 historia mpya imeandikwa kwa club ya Azam FC kwa mara ya kwanza baada ya shirikisho la soka Tanzania TFF kukubali Azam FC ianze kucheza mechi zao za nyumbani dhidi ya Simba na Yanga katika uwanja wao wa Azam Complex Mbande Chamazi.

Azam FC leo imecheza dhidi ya Simba katika mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2017/2018 dhidi ya Simba katika uwanja wa Chamazi lakini game haikufanikiwa kupata mbabe na kulazimika kwa sare tasa ya 0-0, huo ulikuwa ni mchezo wao wa pili wa Ligi Kuu kwa timu zote mbili.

Mchezo wa leo wa Azam FC dhidi ya Simba unakuwa ni mchezo wao wa 19 kukutana kwa timu hizo katika Ligi Kuu toka walipokutana October 4 2008 na Azam kuibuka na ushindi wa magoli 2-0, kwa ujumla Simba kaifunga Azam FC katika Ligi mara 8 na kupoteza mara 5 na sare wametoka mara sita.

Kwa matokeo hayo sasa Azam FC na Simba zote zinafungana kwa kuwa na point nne kila mmoja katika msimamo wa Ligi Kuu wakitofautiana magoli, Simba sasa atacheza game yake ya tatu dhidi ya Mwadui FC katika uwanja wa Uhuru wakati Azam FC wao watacheza na Kagera Sugar katika uwanja wao wa Chamazi.

Video ya dakika 3 ya magoli ya Taifa Stars vs Botswana September 1 2017, Full Time 2-0

You Might Also Like

Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC

Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea

Update ya afya ya Christopher Nkunku aonesha video kutokea gym…

Man Utd wamethibitisha kurejea kwa Antony kwenye shughuli za kikosi cha kwanza

Nahodha wa Bayern Neuer arejea mazoezini miezi 10 baada ya kuvunjika mguu

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA September 9, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article RPC MWANZA kaeleza kuhusu aliyeteka mtoto akadai Milioni 3 M-PESA
Next Article Kitu RC Makonda ameagiza kitekelezwe na Manispaa zote Dar
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
Top Stories September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
Top Stories September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
Magazeti September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
Magazeti September 30, 2023

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023

September 30, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 29, 2023

September 29, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 28, 2023

September 28, 2023
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 28, 2023

September 28, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?