Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Burna Boy kaacha historia London, ujio wake Tanzania Nov 29 mwaka huu
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Burna Boy kaacha historia London, ujio wake Tanzania Nov 29 mwaka huu
Mix

Burna Boy kaacha historia London, ujio wake Tanzania Nov 29 mwaka huu

November 6, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Ni headlines za Msanii wa Nigeria ambae pia ni mshindi wa tuzo ya MTV EMA 2019, Burna Boy ambapo Jumapili iliyopita aliweka historia katika Arena iitwayo The SSE huko London.

Staa huyo alivunja rekodi nchini Uingereza baada ya kuijaza Arena iitwayo The SSE yenye uwezo wa kuingiza watu Elfu 12,500.

Staa huyo baada ya kumaliza show yake alikabidhiwa chati chenye jina lake kama heshima aliyoiweka katika ukumbi huo.

Staa huyo ametajwa tena katika vichwa vya habari kutokea Tanzania kwamba mwezi huu tarehe 29 anatarajiwa kutoa burudani ya nguvu katika ukumbi wa Nextdoor Arena Dar es Salaam.

Staa wa mwisho kutokea Nigeria aliewahi kutoa burudani ya nguvu katika ukumbi wa Nextdoor Arena ni Davido kama ulimiss itazame hapa

Hii video ikimuonesha Davido alivyompandisha Diamond kwenye jukwaa la Nextdoor Arena Dar es Salaam

 

 

 

 

You Might Also Like

Hifadhi ya Mpanga Kipengere kusherehekea siku ya Maanguko ya Maji Duniani

Wabunge wafurahishwa na utekelezwaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Profesa Mkenda kufungua maonesho ya Nane ya Tafiti na Ubunifu UDSM

Miaka 5 ya ITM, Serikali imeahidi kuadhimisha sekta ya rasilimali watu

Yanga, UNICEF na Serikali zaungana kutoa elimu Ugonjwa wa Kipindupindu

TAGGED: Burna boy, Dar es salaam, Nigeria
Edwin TZA November 6, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Video: Khadija Kopa atokwa machozi, RC Makonda ashindwa kujizuia
Next Article TRAILER:Unazikumbuka movie za Bad Boys 1& 2, sasa wamekuja na hii nyingine
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?