Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Stori 10 za AMPLIFAYA March 20 2014, kuhusu shabiki wa Yanga aliefariki na mengine.
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Amplifaya Top10 > Stori 10 za AMPLIFAYA March 20 2014, kuhusu shabiki wa Yanga aliefariki na mengine.
Amplifaya Top10

Stori 10 za AMPLIFAYA March 20 2014, kuhusu shabiki wa Yanga aliefariki na mengine.

March 20, 2014
Share
2 Min Read
SHARE

top 10 1Amplifaya ni show ambayo inasikika kupitia Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku ikihusika kutoa stori zote kumi kubwa za siku za siasa, muziki, michezo, movies, maisha na ishu nyingine.

#AMPLIFAYA March20 #10 ANC: Rais Zuma hatojiuzulu sababu ya kashfa ya kutumia pesa za umma kujenga makazi yake ikiwemo nyumba 4 za wake zake.

#9 Waziri mkuu Australia athibitisha vitu kama mabaki ya ndege kuonekana baharini, hali ya hewa imekwamisha kuvifikia, inasadikiwa huenda vikawa vya ndege ya Malaysia iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita.

#8 Mgombea Ubunge Chalinze Ridhiwani kikwete amekiri kuona matatizo ya wafugaji na wakulima, kaahidi kuweka mpango bora.

#7 Kitengo cha mabomu Kenya kimelipua kilo 173 za vilipuzi vilivyokamatwa baada ya jaribio la kigaidi kufeli Mombasa.

#6 Tanzania @50 #kuwaMzalendo Afande Sele anasema inawezekana asingekua msanii leo kama sio muuza mitumba Ramadhan Mataka.

#5 Yanga & Simba zimeagizwa kulipa milioni 25 kama faini kutokana na uharibifu wa viti ktk vurugu zilizofanywa na mashabiki Yanga vs Al Ahly

#4 Rais Mugabe apunguza mishahara ya Wakuu wa mashirika ya Umma, kipato cha mwezi cha wastani kwa Wahudumu ni zaidi ya laki5 za Tanzania.

#3 Saudi Arabia imepiga marufuku Wazazi kuwaita watoto wao kuanzia sasa majina 50 yaliyo kinyume na tamaduni na dini yakiwemo Rama, Alice na Binyamin.

#2 Dogo Janja ‘Nawaomba msamaha mashabiki na Tiptop Connection yenyewe, sasa niko tayari kurudi Tiptop.. tusahau ya kale’

#1 Daktari asema >> ‘Mke wa shabiki wa Yanga aliefariki uwanjani kwenye mechi ya Yanga vs Azam asema mume wake huyu mwenye umri wa miaka 48 aliishiwa nguvu muda mfupi tu baada ya kuinuka na kushangilia goli la Yanga, baada ya hapo alikaa alafu akamlalia, muda mfupi baadae ikathibitishwa amefariki’

Ili kuwa karibu zaidi na kila stori inayotoka iwe usiku au mchana unaweza kujiunga na mtu wako wa nguvu kwenye twitter.com/millardayo facebook na instagram.com/millardayo

You Might Also Like

Uchambuzi katika timu 32 za World cup 2022 timu 23 zina makocha wazawa , 9 pekee ndio hazina wazawa

Amplifaya: Wanaume wawaambie Wanawake mishahara yao, Whozu na Meja Kunta wasalimiana

Sababu zimetajwa za Vyuo Vikuu kufungiwa nchini

AMPLIFAYA: Stori zote zilizosikika kwenye Amplifaya leo July 19, 2017

AMPLIFAYA: Ulizikosa dk 120 Radioni? Hizi stori zote za Amplifaya July 18, 2017

Millard Ayo March 20, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Heineken imeyaleta tena yale mashindano ya foosball @heineken_tz
Next Article Imebidi tu Oscar Pistorious aiuze hii nyumba, sababu ziko hapa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?