Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Msimamo wa ACT Wazalendo baada ya Walemavu kupigwa mabomu DSM
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > Msimamo wa ACT Wazalendo baada ya Walemavu kupigwa mabomu DSM
AyoTV

Msimamo wa ACT Wazalendo baada ya Walemavu kupigwa mabomu DSM

June 19, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Chama cha ACT Wazalendo kilikutana na Waandishi wa Habari DSM na kuweka bayana msimamo na kutoa tamko lao dhidi ya tukio la kupigwa mabomu Walemavu lililotokea Juni 16, 2017 DSM.

Walemavu hao waliandamana kwa lengo la kumuona Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala ili kumfikishia malalamiko yao dhidi ya Askari wa Usalama Barabarani kuwakamata na kuwazuia kuingia katikati ya jiji.

Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi wa chama hicho Ado Shaibu amesema chama hicho kinalaani kwa nguvu zote kitendo cha Jeshi la Polisi kutumia nguvu kubwa kuwatawanya walemavu hao.

>>>”Chama cha ACT Wazalendo tunalaani kwa nguvu zote kitendo cha Jeshi la Polisi kutumia mabomu ya machozi na virungu kuwapiga watu wenye ulemavu, kuwatawanya, kuwaburuza na kuwafanyia vitendo visivyo vya kiutu pale walipojikusanya tarehe 16 mwezi huu katika Barabara ya Sokoine, Posta.

“Sababu ya lengo lao la kwenda kumuona Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala ili pamoja na mambo mengine waende kueleza kilio chao cha kukamatwa mara kwa mara na Askari wa Usalama Barabarani na kilio chao cha muda mrefu cha kutaka maeneo ya kuegesha baiskeli zao zinazowasaidia katika kutembea katika mji huu.

“Kwa hiyo Chama cha ACT Wazalendo kinapinga vikali sana. Vitendo hivi ni vya aibu na havipaswi kutokea katika nchi ambayo kwa muda mrefu sana imekumbatia misingi ya Utu, Undugu na Mshikamano. Ni vitendo ambavyo hatukuwahi kuvizoea katika nchi yetu.” – Ado Shaibu.

Kitu Waziri Mwigulu amewaambia Watanzania kuhusu JPM, makinikia!!!

 

You Might Also Like

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa

WASHINGTON:Mkurugenzi Mtendaji wa TikTok “kampuni hii sio wakala wa Uchina au nchi nyingine yoyote”.

Wanandoa mahakamani wakidai haki ya kumpatia mtoto wao jina Kuzimu (Hades).

Beijing:Idadi ya watu kwenye mji mkuu wa China, yashuka kwa mara ya kwanza tangu 2017.

Siku ya utabiri wa hali ya hewa duniani.

TAGGED: ACT Wazalendo, Ayo TV, TZA HABARI
Millard Ayo June 19, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mtanzania aliyesoma kwa ada ya Tsh. milioni 365 Marekani
Next Article Kutoka kwa Zitto Kabwe kuhusu stori za kugombea Urais wa TFF
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?