Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA 6: Baba mzazi wa Jose Mourinho amefariki, kuzikwa leo Ureno
Share
Notification Show More
Latest News
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro
August 11, 2022
Live: Rais Samia akiwasalimia Wananchi wa Makambako
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > PICHA 6: Baba mzazi wa Jose Mourinho amefariki, kuzikwa leo Ureno
Mix

PICHA 6: Baba mzazi wa Jose Mourinho amefariki, kuzikwa leo Ureno

June 27, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Meneja wa Manchester United Jose Mourinho amewasili nchini kwao Ureno kwa ajili ya shughuli ya mazishi ya baba yake mzazi mzee Jose Manuel Mourinho Felix ambaye amefariki Jumapili akiwa na umri wa miaka 79 baada ya miezi kadhaa ya kuugua.

Mourinho alionekana akiwasili Setubal akiwa na rafiki zake na familia yake Jumatatu baada ya taarifa za kifo cha baba yake mzazi ambaye atazikwa  leo Jumanne.

Enzi za uhai wake na maisha ya soka, Mourinho Felix alikuwa mlinda mlango wa klabu za Vitoria Setubal kisha Belenenses akicheza mechi 274 za Ligi Kuu ya Ureno baina ya 1955 na 1974 huku akicheza mara moja pekee kwenye timu ya Taifa la Ureno akitokea kwenye benchi mchezo dhidi ya Jamhuri ya Ireland mwaka 1972.

Baada ya kustaafu soka Mourinho Felix alikuwa kocha wa klabu kadhaa za Ureno zikiwemo Uniao Leiria, Amora, Rio Ave, Belenenses na Vitoria.

Mourinho akiwa kwenye picha ya pamoja na baba yake Felix, ambaye alicheza zaidi ya michezo 250 kwenye Ligi Kuu ya Ureno
Baada ya taarifa za kifo cha baba yake Mourinho alipost picha hii kwenye Instagram yake
Felix, ambaye alisumbuliwa na maradhi kwa miezi kadhaa alifariki Jumapili
Mourinho na familia yake pamoja na rafiki zake wakielekea Kanisani kwa ajili ya shughuli za mazishi ya Felix
Mourinho (wa pili kushoto) akisindikizwa na familia akiwepo binti yake Matilde (wa pili kulia) kuelekea kwenye msiba wa baba yake
Jose Mourinho akatiwa moyo na mmoja wa rafiki zake kufuatia kifo cha baba yake mzazi aliyefariki Jumapili

Baada ya JPM, Waziri Nchemba naye ametoa marufuku!

 

You Might Also Like

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam

Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu

Kampuni ya PAET imewekeza Dola Milioni 70 uendelezaji gesi

TAGGED: Pichaz
Millard Ayo June 27, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article AyoTV MAGAZETI: Mchujo mkali mauaji Kibiti, Jina lamchefua Mizengo Pinda
Next Article Lowassa kuitwa na DCI, Pinda, Majaliwa ktk story kubwa 32 leo June 27, 2017
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
Top Stories August 11, 2022
“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

August 11, 2022
Top Stories

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

August 11, 2022
Top Stories

Live: Rais Samia akiwasalimia Wananchi wa Makambako

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?