Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: DC Jokate atangaza kuleta mtihani mmoja wa shule za Secondary Kisarawe
Share
Notification Show More
Latest News
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 20, 2023
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > DC Jokate atangaza kuleta mtihani mmoja wa shule za Secondary Kisarawe
Habari za Mastaa

DC Jokate atangaza kuleta mtihani mmoja wa shule za Secondary Kisarawe

September 5, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo amesema kwa Mwaka huu Kisarawe italeta mtihani mmoja wa Mock ya kwanza utakao wahusisha kidato cha nne katika shule zote za secondary wilayani humo, utakaoitwa Tokomeza Ziro Kisarawe form 4 Mock examination.

Jokate amesema hayo kupitia ukurasa wake kwa kuandika Post inayomuonesha akiwa na mwanamchi wake kutoka kijiji cha msanga aliyekuwa anamsahauri kurudia kufanya harambee ya kusaidia elimu baada ya kuona matokeo mazuri ya ufaulu mzuri wa wanafunzi Wilayani humo.

Jokate ameandika Haya… >>>>>“Mwaka huu tunafanya kwa mara ya kwanza kabisa pamoja na kambi tulizozoea, tokomeza zero Kisarawe form IV Mock Exams, mtihani moja Wilaya nzima na tayari tumeanza maandalizi hakuna kulala wala kukata tamaa mpaka kieleweke. Hii kampeni ni yetu sote” – DC Jokate Mwegelo

 

You Might Also Like

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.

Mlipuko wa polio watangazwa nchini Burundi kulingana na ripoti ya WHO

TAGGED: DC Jokate Mwegelo, Tanzania news, TZA HABARI
Victor Kileo TZA September 5, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Bidhaa zenye brand feki ya Jux zakamatwa Kariakoo (+video)
Next Article Vurugu za Afrika Kusini zapelekea Fid Q kuahirisha show yake (+video )
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

March 20, 2023
Top Stories

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

March 19, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?