Paul James maarufu kama PJ wa Power Breakfast ya CloudsFM inayosikika J3-Ijumaa kuanzia saa kumi na mbili asubuhi ndie anasoma stori kubwa alizokutana nazo kwenye Magazeti mbalimbali ya Tanzania leo July 28 2014.
Magazeti yakisomwa Redioni leo July 28 2014, stori ya Wabunge wa Tanzania kupigana hotelini Malaysia ipo pia
Leave a comment
Leave a comment