Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ladies & Gents ni time ya Nandy kwenye bidhaa zake mpya
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Ladies & Gents ni time ya Nandy kwenye bidhaa zake mpya
Habari za Mastaa

Ladies & Gents ni time ya Nandy kwenye bidhaa zake mpya

May 17, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Ni time ya msanii Nandy “African princess” kuja na bidhaa zake za sabuni na mafuta (Nandy Beauty soap na Nandy Petroleun Jelly) ambapo amezitambulisha bidhaa hizo rasmi leo May 17,2018 katika viwanja vya Escape One Dar Es Salaam akishirikiana na Grace Products Ltd.

Nandy amekuwa miongoni mwa mastaa wachache ambao wameamua kujikita katika biashara ndogondogo ukiachilia mbali na biashara ya muziki inayokidhi maisha yao ya kila siku.

 

Miongoni mwa mastaa wanaomiliki brands za bidhaa zao ni pamoja na muigizaji Aunty Ezekiel ambaye anamiliki Body Spray zake, muimbaji Shilole ambaye nae ametoa Chilli sauce za brand yake na Rosa Ree ambaye anamiliki Rosa Ree Mini Super Market.

Shilole ameingiza tani Moja ya Pilipili zake Sokoni, kafunguka Hapa

 

You Might Also Like

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Audiomack yazindua kampeni ya ‘Ngoma juu ya ngoma’ kukuza muziki wa kitanzania

Exclusive: Con boi kafunguka hana mawasiliano na Lunya,Quick Rocka, akumbuka kifo cha mpenzi wake

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

TAGGED: bongoflevanews
Admin May 17, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article ‘Ukiwa na njaa utafanya lolote hata kudanga nitadanga nipo serious’ Gigy Money
Next Article Imethibitika Ebola imeenea DR Congo mjini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?